-
Final
LPL
AZM0
1 -
Final
MBY
STD1
2 -
Final
MTB
RVS1
1 -
Final
NDA
YNG0
1 -
Final
NJM
MJM1
0 -
Final
KGR
SNG0
1 -
Final
TZP
MWD3
1 -
Final
SMB
MBA2
2 -
Final
MWD
SMB0
3 -
Final
NJM
MBY0
1 -
Final
SNG
STND1
0 -
Final
RVS
LPU0
0 -
J'mosi Saa 10:00
NDA
PRI
-
J'mosi Saa 10:00
MBA
MTB
-
J'mosi Saa 10:00
YNG
MJM
-
Ij'ma saa 1 Usiku
KGR
AZM0
1
- Arsenal v Tottenham: Arsenal watakubali kuaibishwa? Tukutane 40 40 Pub Tabata kuutazama pamoja, Sportpesa, Soka360 na Baraka Kizuguto ndani!
- Said Ndemla, sikiliza sauti inayotoka ndani ya moyo wako
- Obrey Chirwa hakulima ‘pantosha’, hatavuna ‘pankwisha’
- Jjuuko Murshid, mpigie simu Novaty Lufunga
- Obrey chirwa, simama wima niyaone matone ya jasho lako
Zahoro Pazi ruksa kuchezea Mbeya City
- Updated: December 27, 2016
Mshambuliaji wa zamani wa Simba, Zahoro Pazi anaweza kuanza kuitumikia timu yake mpya ya Mbeya City baada ya kupata kibali cha Uhamisho wa leseni ya Kimataifa (ITC) hii leo.
Zahoro alisajiliwa na Mbeya City wakati wa dirisha dogo lakini alishindwa kucheza kwa kukosa ITC ambayo ilitolewa nchini JK Kongo katika klabu ya Lupopo mwaka 2014.
Tangu mwaka 2014, amekuwa akisajiliwa na timu lakini hakufanikiwa kucheza kutokana na sakata lake la Lupopo kukata kutoa kibali cha kuachiwa kwa ITC yake.
Wiki iliyopita, rais wa TFF, Jamal Malinzi aliaahidi kulishughulikia suala lake ndani ya siku saba na kufanikiwa kutimiza ahadi hio.