-
Final
LPL
AZM0
1 -
Final
MBY
STD1
2 -
Final
MTB
RVS1
1 -
Final
NDA
YNG0
1 -
Final
NJM
MJM1
0 -
Final
KGR
SNG0
1 -
Final
TZP
MWD3
1 -
Final
SMB
MBA2
2 -
Final
MWD
SMB0
3 -
Final
NJM
MBY0
1 -
Final
SNG
STND1
0 -
Final
RVS
LPU0
0 -
J'mosi Saa 10:00
NDA
PRI
-
J'mosi Saa 10:00
MBA
MTB
-
J'mosi Saa 10:00
YNG
MJM
-
Ij'ma saa 1 Usiku
KGR
AZM0
1
- Arsenal v Tottenham: Arsenal watakubali kuaibishwa? Tukutane 40 40 Pub Tabata kuutazama pamoja, Sportpesa, Soka360 na Baraka Kizuguto ndani!
- Said Ndemla, sikiliza sauti inayotoka ndani ya moyo wako
- Obrey Chirwa hakulima ‘pantosha’, hatavuna ‘pankwisha’
- Jjuuko Murshid, mpigie simu Novaty Lufunga
- Obrey chirwa, simama wima niyaone matone ya jasho lako
Salah atwaa tuzo ya mchezaji bora Afrika
- Updated: January 5, 2018
Shirikisho la soka barani Afrika CAF limemtangaza Mohamed Salah kuwa mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa mwaka 2017.
Mohamed Salah wa raia wa Misri anayeichezea klabu ya Liverpool ya nchini England katika kinyang’anyiro hicho amewashinda gwiji wa Gabon anayeichezea Borussia Dortmund, Pierre Emerick Aubameyang na kiungo mwenzake wa Liverpool na timu ya taifa ya Senegal Sadio Mane.
Washindi wengine wa tuzo kwa usiku wa jana tarehe 4 Januari 2018 ni kama ifuatavyo;
-Mchezaji bora wa Kike Asisat Oshoala (Nigeria )
-Mchezaji bora kijana wa Mwaka ni Patson Daka (Zambia U20 & Red Bull Salzburg)
-Tuzo ya Kocha Bora wa Mwaka imeenda kwa Hector Cuper kocha wa Misri
-Klabu bora ya Mwaka ni Wydad Athletic Club ya Morocco
-Timu bora ya Taifa ya Mwaka ni Misri
-Timu bora ya Taifa kwa wanawake ni Afrika Kusini
-Kiongozi Bora wa Michezo wa Mwaka Afrika ni Ahmed Yahya wa Mauritania
-Tuzo ya gwiji bora wa imekwenda kwa Ibrahim Sunday.